Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam inatarajia kusikiliza Rufaa ya Mwwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko saa 8 mchana, ambapo pia mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezuiwa kumpa mkono Mbowe mahakamani.