المدة الزمنية 2:38

ZITTO KABWE AZUIWA KUMPA MKONO MBOWE

بواسطة Millard Ayo
146 777 مشاهدة
0
367
تم نشره في 2018/11/30

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam inatarajia kusikiliza Rufaa ya Mwwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko saa 8 mchana, ambapo pia mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amezuiwa kumpa mkono Mbowe mahakamani.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 185