المدة الزمنية 3:58

MKE WA JAMAA ALIYEKATWA MASIKIO AMTETEA MUME WAKE NIMEFUNGA NAYE NDOA

بواسطة Millard Ayo
15 938 مشاهدة
0
78
تم نشره في 2021/03/14

Baada yakupita siku kadhaa tangu Ibrahim Fadhili mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara akatwe masikio yake mawili baada yakukutwa na mke wa mtu mke wa Ibrahim amefunguka nakusema mme wake ni muwazi kwake na hajawahi kuwaona wakiwa kwenye mahusiano kwa kuwa ameishi naye kwa miaka miwili

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 105