@loner_wolfمنذ 3 سنواتMsitishiane mabavu, kila mtu afanye kazi yake tu. Natumaini Mo Dewj atawasuruhisha na kazi itaendelea kwa nguvu ya mwenyezi mungu inshallah.
@
@mikealeck6447منذ 3 سنواتHaji ni sawa na Cristiano real Madrid, akiondoka ndio mtaelewa maana yke. 6
@kimolyjunior7978منذ 3 سنواتBabra tumekuchoka tuachie Simba yetu na manara wetu we Kwanza hatukujuwi waweza kwendaaaaa 2
@
@latifabashiru5598منذ 3 سنواتHongera kwa kukataa utumwa, mwanamke na mpira wap na wap, tim inaenda kuwa ya wahindi tupu 2
@
@richardlameck1624منذ 3 سنواتBabra aondoke hata na mo azingua wote wasepe Simba hatuna njaa sana 2
@
@saitawilson7307منذ 3 سنواتSimba bila manara hapanaa Barbra out! . 2
@
@amirikoshuma3039منذ 3 سنواتMm nilishawaambia wanawake wa kiarabu ni sumu huwa wanna jiona ga Sana manara pole Sana nimejisikia vibaya Sana pole Sana haji
@
@cheguevaratv2917منذ 3 سنواتMnaosema huu mgogoro utaiharibu Simba never. Simba ni kubwa kuliko Manara na Barbara, watazeeka wataiwacha timu! 1
@
@efraimjohn4956منذ 3 سنواتHahaha, Simba bwana hata mkifanya hz Sanaa tunawachapa tu Wala hazitutoi kwenye reli 9
@
@mohammedmkoma9288منذ 3 سنواتIla jamani Dr Hamisi Kigwangala alishasema mapema aaa , Big up Brother Kigwangala
@
@mathewseverine9962منذ 3 سنواتBabra hzo busara za kuongoza Simba mbona hazionekan yan ww unajifanya unaijua Simba kurko manara kwel ebu tupishe amsha 6
@
@ahmadbinsaid9335منذ 3 سنواتSalam zangu Kwa bos moo naomba uwe makini manara akiondoka Simba na Sisi mashabik tunamfata mtaenda India mkachukuwe mashabik Sisi tutaondok na manara wetu
@
@rammyrajab4649منذ 3 سنواتManara tunakupenda to wachaiposiku Atajua mashabiki tunamjua haji munguatakusimamia to haji
@
@michaelhizza340منذ 3 سنواتManara nakushauri usiondoke babra boya tuu yaan sikio haliwezi pita kichwa na kupenda manara tuna kupenda manara 2
@
@rehemaismail6816منذ 3 سنواتYote kwa yote please usiondoke Simba Manara
@
@qaboossalim47منذ 3 سنواتSimba goli 5 zinawahusu kigoma kama ni hivi 6
@
@queenmwasanguti2370منذ 3 سنواتAcheni kumuazia Manara jamani Manara ni Simba Mnamuonea sana Manara.
@
@hamidriday2352منذ 3 سنواتHaka kamwanamke kalitokea wapi,pumbavu Sana. Manara is another level
@
@abdullaabdulla7039منذ 3 سنواتBrother Haji. Achana na huyo malaya wa KIGOA. Huyo ni malaya. Brother Haji sisi tunakuamini wewe. Huyo Babra kazi yaki nikufirwa tu. 2
@
@habiyamberetheonesterashid6953منذ 3 سنواتManara mpendwa huku wanyarwanda Kigali tulikua tunagufuata saana sasa njoo huku kwa team ya Rayonsport Kigali .wa Simba hawajuwi kwamba wewe ndo Brand id="hidden2" class="buttons"> ya mpira huko TFF .weye Mamara tunagupenda sana huku wanyarwanda Kigali kbsa.muache Huwo BRABRA ni wa Delila wawa Boss .wanataka kuangucha Musimbaji chini wataona peke yawo. ....وسعت
@sakinamakau9879منذ 3 سنواتNaipenda simba sana, ila kwa mauzauza haya cjui km msimu ujao tutatoboa 1
@
@edwardnaubutu2522منذ 3 سنواتTatizo co ugomvi wenu ni uoga wa kigoma 8
@
@cbdangel3923منذ 3 سنواتUkweli tutaujua tuu , ingawa una kawaida ya kuchelewa ..na story inabidi tusikilize pande zote mbili , yaan between them .
@
@justinemaingu1460منذ 3 سنواتManara binafsi nilikuwa nakkubali sana kwa hali yyte ile ila kwa ili umekosea mwanaume hatemi sumu kwenye umma kama ivo kumbuka uyo ni mwanamke ww ilipaswa id="hidden3" class="buttons"> umjibu kwa vitendo ili kumshawishi kuondoa mashaka juu yako najua Babrbra anamachungu na Simba pia ....وسعت
@
@mzafaruabubakari6762منذ 3 سنواتdaaa babraaaaaaaaaaaa usitutafute ujui ata robo ya simba ukomeee kabisaaaaa tuwachieee manala wetu achana na sisi kabisaaa 6
@
@zainabujuma4278منذ 3 سنواتManara kwa kweli ameleta amsha kweli kwa simba wamuache jmn manara.
@
@Deonfnyoniمنذ 3 سنواتCo babra.hyo ni boc wako shida kaka khaji unapenda kuwa juu zaidi ya CEO wa club hyo ni boc wako 8
@
@hakikamusajilamujilamu4723منذ 3 سنواتManara tuache kwaza umetuuza Sanaa kwa yanga
@ilynpayne7491منذ 3 سنواتDaah huyu dada mbwa aisee wanawake huwa wana roho mbaya sana
@
@abdullahjuma9206منذ 3 سنواتmmmh kimeshanuka tiari mi niliwambia mzee mpili ni noma mkabisha mnaona sasa 7
@
@meshackpaul6215منذ 3 سنواتWanao taka Barbra apite kushoto like apo 4
@
@mbwanakiting7180منذ 3 سنواتUnachambana na mwanamke mitandaoni wewe vipi? Mnagombana Sasa kimenuka.Simba ulianza kabla yako manara.husijifanye wewe ndiyo Simba.bila moh hakuna Simba.pole ndugu jeuri imeisha. 5
@
@mwalimukilumbijongo4712منذ 3 سنواتLakini Haji kwa nini useme kuvunja urafiki na Hens ni bora uache kazi kuitumikia Simba Sport Club hiyo unaionaje?
@
@somoesalumu7600منذ 3 سنواتYaani mgema ukimsifia wanawake wanaharibu sana hasa nafasi za juu kumpongeza barbara lakn now anaharibu 1
@
@loner_wolfمنذ 3 سنواتSasa kwani kakufanya nini huyo dada , alafu Manara huwez kuuza timu, wwe ni msemaji, msemaji hafanyi usajili, msemaji hafundishi jinsi ya kushinda, msemaji id="hidden5" class="buttons"> hawez kuahidi wachezaji, ila msemaji anasherehesha tu tunaposhinda na kushindwa. ....وسعت1
@
@goodlucklaizer5495منذ 3 سنواتWacha walete.mizengwe yao tu ila tar 25 tusifungwe, tukifungwa wote waondoke 1
@
@saidhassan9511منذ 3 سنواتMkude, akapimwe akili. ..sasa hawa ma boss, ,,milembe ..maana sijuwi kama kunausalama hapo simba 2
@
@yacenharuna380منذ 3 سنواتEt n propaganda za mbinu za kumfunga Baba mzazi Yanga SC , hata vtabu vya Dini usltaje jna la Mungu wako bule hyo n dhambi, sema Haji kakosea sana id="hidden6" class="buttons"> kusema mbele ya Media, bora hl angelweka prvt na viongoz wake wakalmalza, kwa hal hii n makosa sana awailze Barcelona toka mwaka 2018 yaliwatokea haya had leo wanajuta, polen sana Watani zangu Mikia FC ....وسعت
@
@hayramswalehe4976منذ 3 سنواتMwanamke kama huyo ni mbuzi,alisema katongozwa na mkude kumbe nikanafiki 2
@
@clamvevo64721منذ 3 سنواتBARBARA una taka kutufingisha tim yetu wakati haji manara ndo kila kitu kwenye tim yetu ya simba manara tuna mpenda sn barbara ndo mana uka mfanya kiungo id="hidden7" class="buttons"> wetu mkude astopishwe tuna omba manara abaki uyo ndo mwenye hamasa tim yetu barbara ana tuaribia ....وسعت
@
@abdullahjuma3926منذ 3 سنواتA.aleikum. Hebu turudini kwa Mungu kila kitu kitakaa sawa ya kwamba, MWANAMKE HAPASWI KUA IMAMU. Haji kusaliti Simba ni sawa na kukausha bahari.
@
@timboxlee919منذ 3 سنواتWaambie wakupe hela hao, mkataba wa milioni 4,ndy nini, waambie wakupe hela 1
@
@ip_headerمنذ 3 سنواتDr. Kingwangala alivyo hoji upatikanaji wa CEO mpya, mlimuona analeta majungu, endeleeni kukumbatia moto, mtakumbuka shuka kukishakucha 1
@
@fredyemmanuel4303منذ 3 سنواتHuu ugovi wenu mngesubir mechi yetu iishe jamani haya malumbano yenu mtasababisha tupoteze tena mechi yetu tutaweka wapi sura zetu jamani
@
@americanfansmcb.i.g4353منذ 3 سنواتWewe babra acha kujitia wewe tutakuondoa Simba walai huu mwaka hauishi ukiwa Simba Tena usipoangalia be care** 4
@
@janetybubegwa5272منذ 3 سنواتMpaka hapa Manara umechemka hata kama Umekosewa. 2
@joaneslawrent4826منذ 3 سنواتSlow down brother namungo ipo tawi lenu
@
@younglowassa5096منذ 3 سنواتuyo babra jau tu toka aingie simba simuelewi mana mala anazinguane na mkude kwann awamtoi
@
@chafu-0298منذ 3 سنواتHana lolote uyu manara kelele nyingiii tuu tulia wewe mfuate mkuu wako wa kaziii Kwan wewe naniii wewe ni mpiga kelele tuu usituektie hapa utawapata hao wasio na akiliii kungunii we 3
@
@ngundejkassim3252منذ 3 سنواتila haji hapa umefeli sannah umekosa usiri, hii inaweza kukuharibia ukashindwa kuchukuliwa hata na timu ya RUVU SHOOTING 2
@
@shaddybmc8342منذ 3 سنواتSIMBA BILA MANARA, HAKUNA KITU. RAHA YA SIMBA NI MANARA
@
@karimujuma6595منذ 3 سنواتKwa nn uongee Leo wakat mechi kesho kutwa unatengeneza nn kwetu
@
@edwardmkweleleمنذ 3 سنواتUlitakiwa kwenda kwa Babra na kuongea naye kiundani si hivi ulivyofanya ni ujinga hufai kuwa Simba
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MANARA AMLIPUA BARBARA - UNA ROHO MBAYA, NAKUACHIA HII SIMBA, UNANIDHALILISHA:
Mnamuonea sana Manara.
Hebu turudini kwa Mungu kila kitu kitakaa sawa ya kwamba, MWANAMKE HAPASWI KUA IMAMU.
Haji kusaliti Simba ni sawa na kukausha bahari.