“Tulikuja hapa na hoja ya spirit ambayo ni gongo, Mkuu wa Mkoa (Mtwara) amechukua gongo ile ameipeleka maabara na imeonekana inafaa kuliko spirit zilizopo.
Kwa kuwa wananchi wetu hawawezi kununua hizi sanitizers ambazo zina alcohol asilimia 65 basi Waziri wa Afya aruhusu tunawie gongo ambayo ina alcohol asilimia 55” Jumanne Kishimba
#CloudsDigitalUpdates #RipotiYaCAG2020
@mgonjacharles195منذ 3 سنواتWewe mbunge elimu uliyonayo ni zaidi ya professor, unatisha. 2
@
@abuuharuna3949منذ 4 سنواتGongo mzee inaua kabisa vilus vya corona mimi naamini hivyo 2
@
@blandinalukole5535منذ 3 سنواتJaman wasukuma wana iq kubwa mf, huyu mbunge, msukuma, maguful, gwajima, makonda n.k 5
@
@margarethpolepole7438منذ 3 سنواتWasukuma na wahaya wanazo dawa sana za kienyeji ukifuatia wamasai 1
@
@keffajacob8952منذ 3 سنواتnamkumbuka sasa mzee wa toronto.ni kariba ya huyu kishimba 1
@
@jenifamtima9325منذ 3 سنواتRais Magufuli uliona mbali kutosafiri nnje ya Nchi maana mara corona paraaah hiii hapa kila mtu na kwao. .na ataleta vifaa tiba vya kisasa Mwihimbili, mambo ya kwenda India kwisha, 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على TURUHUSU WANANCHI WANAWIE GONGO BADALA YA SANITIZER- MBUNGE KISHIMBA: