المدة الزمنية 35:8

Nuksi ya Yanga yaisha kwa kuwaumiza Singida United 1-3

بواسطة Azam TV
98 288 مشاهدة
0
329
تم نشره في 2020/01/22

SINGIDA UNITED 1-3 YANGA SC: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS Timu ya Wananchi, Yanga SC imefanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza kwenye ligi kuu Tanzania Bara kwa mwaka huu ikiwashushia kichapo cha mabao 3-1 Singida United, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Liti mkoani Singida. Yanga wametangulia kupata bao kupitia kwa David Molinga dakika ya 12, Haruna Niyonzima dakika ya 58 na Yikpe Gislain dakika ya 78, kabla ya Six Mwasekaga kupiga bao la kufutia machozi dakika ya 83.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 55