المدة الزمنية 1:3:31

KIPYENGA CHA MWISHO -

بواسطة Azam TV
27 453 مشاهدة
0
141
تم نشره في 2021/06/24

Ungana na Osman Kazi akiwa na Ahmed Ally kwenye Kipyenga Cha Mwisho kutazama "utata na utatuzi" wa makosa yanayofanywa viwanjani wakati wa mechi mbalimbali za soka zinazochezwa kwenye michuano mbalimbali hapa nchini. Je, wiki hii, waamuzi wanapaswa kupongezwa kwa lipi na wanapaswa kukumbushwa kwa makosa waliyoyafanya kwenye mchezo gani? Ungana na waandaaji na wachambuzi katika KIPYENGA CHA MWISHO. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 71