المدة الزمنية 3:8

Serikali ya Kenya yalaumiwa kwa kushindwa kuwatetea raia wake wanaofanya kazi Mashariki ya Kati

بواسطة KTN News Kenya
133 068 مشاهدة
0
331
تم نشره في 2014/10/22

Serikali ya Kenya imelaumiwa pakubwa kwa kushindwa kuwatetea raia wake wanaofanya kazi za ujakazi Mashariki ya Kati. Siku chache baada ya Wizara ya Leba kupiga marufuku mawakala wote wanaowapa Wakenya ajira Ughaibuni, Wakenya ambao sasa wanahudumu hasa nchini Saudi Arabia wameendelea kupitia mahangaiko bila kuona mkono wa ubalozi wa Kenya. Saida Swaleh Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live Follow us on http://www.twitter.com/ktnkenya Like us on http://www.facebook.com/ktnkenya

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 141