@aduwopbarack1050منذ 4 سنواتAstounding. Here in Kenya, we say " iko kitu". 14
@
@jasonhiphop2589منذ 4 سنواتKinacho shangaza nikwamba.Nabii hata awe mwafrica bado wakuthibitisha nimzungu.Lemi Ongala alisema mengi kwenye wimbo wa Wema kumanyoko.This time we have id="hidden1" class="buttons"> Magufuri Mungu aendelee kumpa ujasili sana awatumbue wengi.Hatujielewi sisi weisi pamoja na kubarikiwa na Mungu.Tunauana ktk family levels, uchawi national levels? Ukipanga kujenga nyumba nzuri wakijua wanakuroga????? Mungu tuone sisi wapi tunakosea!!!!? ....وسعت7
@
@ameirameir4930منذ 4 سنواتukiwa umezama kwenye kina kirefu cha historia ya Afrika kusini bs inawezekana sana kuna angalau chembe ya ukweli wa makala hii si ya kuibeza moja kwa moja it make sense. 19
@
@erickdick9457منذ 4 سنواتKamilisha ushaid mzee bado ushaid auna uzito wenda ikawa lakn ushahid bado auna uzito kamilisha ushahid 10
@
@karlmick9422منذ 4 سنواتWabeberu wamekwisha ifanya dunia kuwa ngumu. Dunia nzima imeaminishwa uongo. Kwenye ufalme wa Mungu kuna mengi sana 14
@
@t.v.a.i.s.s6842منذ 3 سنواتInewezekana.. Maana huaga hatuelewi. Hii Africa ya kusini wele watu weusi wanavyo kua Wana uwawa, eyi kissa ni MA foreigners. Ukiwa mwenye hakili na kufuatilia id="hidden3" class="buttons"> Hii historia. Inewezekana kua ni ukweli tunaemjua alikua sioo Mandela halisi ....وسعت3
@
@kipokendirangu2572منذ 4 سنواتMchungaji hapo ninakuunga kulikuwa na kijana kijijini kwetu alikuwa kafungwa miaka 10 alipotoka jamaa alikuja kumtafuta mke wake kijijini kwa bahati yule id="hidden4" class="buttons"> mkewake hakuolewa na mtu Hapo wawili hao walifulahiana sana ni lishangaa sana wakati Winnie akimkataa mandela ....وسعت10
@
@emanuelnyab9872منذ 2 سنواتDuu ukute hata Magufuli hakufa bali alitekwa na kufichwa. 8
@
@yasinamiri7649منذ 4 سنواتKwel kabisa sasa leo ndio nimemuamini my friend toka kwa mandela alinambia kitu nawe ume yaludia so ni kwel kabisa 8
@
@aldogunwillgun8886منذ 4 سنواتYaan kidogo Africa tumeamka kwakutukusimulia historia ya africa 11
@
@sa3dasa3da87منذ 4 سنواتInasemekana wazungu washatengeneza sana watu feki kwa faida yao 9
@
@hamadeddymaclayzمنذ 2 سنواتHii inaweza kuwa kweli kabisa wengi wanasema hivyo 1
@
@momadeatibo6729منذ 4 سنواتni kweli mandela huyu alikua hawzi kulia wala hawezi kucheka, ni hatari sana. 7
@
@mariamfaicalhassan2890منذ 4 سنواتTutafutie ya Nigeria nae maana yule wanasema siyo rais wao wakwao alisha fariki @Mwl Benson Mwakilembe , nasikia yule siyo Buharia 9
@
@emmanuelnjelekela6299منذ 4 سنواتMmhhh Kama ni kweli bass hiili ni tatizo kubwa na ikithibitika wazungu wote wataondoka loohhh 5
@
@prospermlowe9830منذ 4 سنواتDaaah kwakweli sina neno, (no truth in the world by luck dube) 8
@
@leonardchoma3765منذ 2 سنواتNiliwahi kumpuuza mtanzania mmoja aliyerudi nyumbani Tanzania kutokea Zambia mwaka 1987 nilipokuwa darasa la 6 huko kwetu Mbeya mjini aliponiambia kwamba id="hidden5" class="buttons"> Nelson Mandela halisi alikwisha uawa na makaburu muda mrefu.Nilimuona ni Kama adui wa harakati za ukombozi wa Waafrika.Lakini kwa simulizi hii nimeanza kutafakali sana juu ya Mandela huyu ambaye Wazungu wanampenda Sana kuliko hata akina Mwl Nyerere,Mugabe,Patrice Lumumba nk waliopigania uhuru wa waafrika kwa nguvu site.Wazungu ni wajanja janja Sana. ....وسعت3
@
@adamkasasa4290منذ 4 سنواتNahic itakua kwel kwa 7bu afrika kucni 83% y ardhi yote ya humo ni yamakabulu na wenyeji 17% y? 7
@
@JafariAbdallah-ot9gpقبل 5 أشهرDuh! Kwakweli hii habari nimejua Leo hatari sana
@allyhuyu1892منذ 2 سنواتHapana si kweli hakikuhama kipo palepale bali kamera imetumika marambili ili uamini niyuleyule angalia mstari uliopo karibu ya jicho la kulia kidoti kipo kushoto kwake nimandele huyohuyo hakuna feki hapo 1
@
@dillysilly6380منذ 2 سنواتNashtuka sana Hivi tutatoka kwenye mikono yawazungu lini? Naumia sana 1
@
@muungwanaseiph662منذ 4 سنواتYeah. .miaka 27.then uwasamehe.hapo kwel kuna something 3
@
@IbrahimMohamed-yy2ilمنذ 3 سنواتMwalimu unaongea Mambo ambayo akili za waafrika zimefungiwa kwa nguvu nyingi, rasilimali nyingi hata kafara nyingi Sana zimefanywa ili akili ilale. Wewe id="hidden7" class="buttons"> mtu wa mungu na watu wachache wanaofunguliwa jicho la tatu ndo huwa wanaelewa Ila miongono mwa wengi utaonekana muongo.. Kwa hiyo ukiona unapinga hili mada Basi omba, funga, toa sadaka omba ufungulie akili yako na muumba wako. ....وسعت4
@
@yusufumajinge59منذ 4 سنواتWazungu hawa huwa wanahuu mchezo wafrica fumbueni akili,wanauchawi sana hawa watu,na wanaweza kutengeneza Tsunami kwa lengo la kuzima uchumi wa nchi furani. 15
@rashidisadala9460منذ 2 سنواتNilipo iona hii video ilibidi niende nikajiridhishe kuhusu hiki kisa Nimeangalia picture ya Mandela akiwa kijana na akiwa mzee lakin inaonekana hakuna madiriko yoyotee kwenye pua ya hizo sura mbili 1
@BIGBOSS-hl3buمنذ 2 سنواتHicho kidoti kinahama kama nyumbu WA Tanzania na Kenya Kule serengeti??? 1
@
@deusmauka9626منذ 4 سنواتNd'o maana alimkataa mke wake maana angemgundua kimaumbile. 20
@
@adammwamba9177منذ 2 سنواتJibu la hicho kidoti unalo ktk simu yako.tumia camera ya mbele kujipiga picha then pozi hilo piga picha nyingine kwa camera ya nyuma utaona tofauti
@
@greenapple8368منذ 4 سنواتTunasikiaga habari za mandela kufungwa ila atujui chanzo cha kufungwa nnn itapendeza tukipata iyo story 7
@
@stanlaymanya687منذ 2 سنواتAcha ufala kushoto kwenye kioo ni kulia, acha kutafuta stori za kisenge upeipiga picha mojawapo kwenye kioo ili kutengeneza tofauti.
@
@jaymandy1914منذ 3 سنواتHata mimi nashindwa kupata picha kabisa aliekufunga gerezani miaka ishirini na saba iwe vipi umsamehe?? Hapo kuna mchezo tulichezewa bila shaka.
@
@mwambarock3696منذ 4 سنواتIsije ikawa hata tundulisu ameshakufa ameludi mwingine daaaaa itaniuma Sana 14
@
@issaali3375منذ 4 سنواتKamera ya mbele kitojo kinakuwA kulia na kamera k wa nyuma inakua kidoto kushoto 1
@
@calebmutua5838منذ 4 سنواتMabeberu ni watu wabaya sana hao watu wa magharibi hawafai kabisa inafaa tuamke wafrika 5
@jimmycroud1027منذ 4 سنواتMm mpaka sasaiv nmeamin aisee kwanza cyo kdot tu ata sura n tofaut ila mm tokea zaman nlikuw nasema mbona yuko tofaut sana maana sura ya mandela mwenyew id="hidden11" class="buttons"> n pana Sana ata kama angezeeka ingebak upana wa sura yke lakn uyu waliemtengeza wanye dhambi sura yke n ndogo sana aisee wazungu nuksi ....وسعت2
@
@roviykamage5423منذ 4 سنواتHuuu ni ukweli, na ndiomana mandela original angetoka gerezani angewavumusha wazungu. Mandela wa kweli aliuwawa mapema 7
@
@emanuelanderson4483منذ 2 سنواتBaadhi ya camera huwa zinageuza image..mfano infinix.tecno..hata kama tisheti ina maandishi hayasomeki..hivo kidoti kuonekana kulia ama kushoto ni kamera id="hidden12" class="buttons"> tu.hivi kwa akili yako wanaweza mbadilisha mtu halafu washindwe kidoti tu.hapo umepuyanga ....وسعت2
@
@dkmrishokimbesa858منذ 2 سنواتNndo kwanza nasikia reo hivyo siwezi kuamini wala kupinga
@
@mwanagwakyala3213منذ 2 سنواتMmmmmmmmh nimechoka kumbe mchezo huu Kitambo umeanza
@
@erastobartalome2709منذ 3 سنواتHata Mimi kuna mswali nilijuiliza kuhusu Mandela hatimae naanza kupata majibu
@
@bonfacekhaondo8544منذ 2 سنواتWazungu Wana njama ya kututoa ulimwenguni.kaeni macho kwa Kila linalotokea
@
@philipoinzag2379منذ 4 سنواتNapenda na kufatilia Sana Habari zako lakini kwa hili umetuzingua Ina maana hata nyerere hamjui? Au mke wake kwa nini alishiriki maziko? 2
@jenniphermwakasita6830منذ 3 سنواتInawezekana ikawa nikweli maana wenzi baada ya kutoka Mandela na kuteuliwa kuwa Raisi angewatoa na wenzie aliesota nawo na baada kutoka wangetoa neno kwa id="hidden13" class="buttons"> Wanafika ya kusini ni kweli hatukuwai sikia wala histori haipo ya usia walivyo teseka ....وسعت2
@
@amosmwakalundwa3031منذ 2 سنواتEven kamuzu banda wa Malawi inasemekana nae ni feki sijui ni kweli?
@
@barakajustine5922منذ 4 سنواتHapana nimemfatilia Mandela sana ila kwa makala haya ya mwalimu isaya sikubaliani nayo 4
@
@seiflugendo5043منذ 2 سنواتBasi hao walioujua ukweli kabla ya kifo cha mandera ndio wasaliti wa kwanza kuliko hata mandera mwenyewe 1
@
@elisanteabraham3249منذ 4 سنواتNi kweli ushahidi wako hauna mashiko,kuhusu kidoti kama Una simu yenye kamera ya mbele jiweke alama shavu la kulia then jipige selfie kisha angalia ile id="hidden14" class="buttons"> picha utaona ile alama iko kushoto fanya majaribio ukiona ninachokwambia ni kweli basi like comment hii. ....وسعت5
@
@bensonmuturi5122منذ 2 سنواتkwa nini alikuja kenya kutafuta kaburi ya kimathi dendan
@
@zainabuabdul7852منذ 2 سنواتmuongo mimi mwenyewe kidoti ninacho ila kuna wakati kuipiga picha unaweza kusema fake ila inatokea kutokana ma location yk unakaaje 1
@
@Nuyama1منذ 4 سنواتhiyo kitu nimewahi kuiongea kwa watu miaka minne ilopita lakini watu hawakuniamini na hiyo ilikuja baada ya kuwa na mashaka na mienendo isiyoeleweka ikiwemo misimamo isiyothabiti ya mandela. 22
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MANDELA HUYU NI FEKI ALITENGENEZWA YULE HALISI ALIUAWA MWAKA 1985:
Hivi tutatoka kwenye mikono yawazungu lini?
Naumia sana 1
Nimeangalia picture ya Mandela akiwa kijana na akiwa mzee lakin inaonekana hakuna madiriko yoyotee kwenye pua ya hizo sura mbili 1