المدة الزمنية 12:45

CHUO KIKUU MZUMBE NI KITOVU CHA KUZALISHA WATUMISHI BORA Mhe. Anna Makinda

بواسطة Ngowi TV
1 539 مشاهدة
0
20
تم نشره في 2018/11/16

Chuo Kikuu cha Mzumbe chafanya mkutano wa 18 wa Baraza la Masajili(convocation), mkutano uliofanyika tarehe 15 novemba 2018 katika kampasi kuu ya chuo hicho mkoani Morogoro, na kuhudhuriwa na wahitimu wa miaka yote wa chuo hicho huku mgeni rasmi akiwa ni spika mtstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anna Makinda ambaye pia amesoma Chuo hicho cha Mzumbe kuanzia mwaka 1971

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0