المدة الزمنية 1:14

Mwizi Wa Mbuzi Apata Adhabu Murang'a

بواسطة Citizen TV Kenya
392 619 مشاهدة
0
610
تم نشره في 2014/06/11

Tuelekee mjini Muranga ambako polisi wanamzuilia mshukiwa wa wizi wa mbuzi ambaye alikamatwa na raia na kulazimishwa kumbeba mbuzi huyo hadi kituoni...wakaazi wa eneo hilo walinuia kumwadhibu mshukiwa huyo baada ya kumzungusha sokoni akiwa na mbuzi wa wizi....mwandishi wetu Anne Mawathe na maelezo zaidi...

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 38