Hii Ndio Ndege Mpya Iliyopokelewa Na Rais Magufuli Ya 1 Afrika
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, amepokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Inasemekana kua Ndege hii kwa Afrika nzima Tanzania ndiyo nchi pekee iliyoweza kuinunua mpaka sasa!
#RAISMAGUFULI
Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
@davidcurtis8556منذ 6 سنواتDah! Nilikuwa naisubiria sana hii ndege jamani ninafuraha mpaka najisikia kulia dah! Asante Muheshimiwa Magufuli Mungu akupe umri akulinde na husda lakini id="hidden1" class="buttons"> muheshimiwa waangalie wanaovunjiwa nyumba kwa jicho la pili maana nao pia ni walipa kodi wapate japo nusu asara, Mungu Akubariki sana. ....وسعت27
@
@beatricerobert3167منذ 6 سنواتAm more than happy for Tanzania but I could not be happy of Tanzania without JPM. May God bless you always.. I love you my President.. 7
@
@abelsabibi6192منذ 6 سنواتJPM is the pride of our nation! Ni wakati mwafaka kwa Watanzania kumuombea sana Rais wetu kwani anapambana kurejesha heshima ya taifa letu na kama itawezekana id="hidden2" class="buttons"> tumuongezee miaka zaidi ya kutuongoza.Najua wapo wasiofurahia mambo haya kufanywa na Rais ndo maana kuna kelele za wanasiasa kuhusu demokrasia japo hawatuambii maana has ya demokrasia. ....وسعت11
@
@franksiame1790منذ 6 سنواتMimi na raisi wangu JPM tumejipanga Tanzania kama sauth Africa. Kama nawewe uko tayali basi LIKE. HAPA 59
@
@fidelslick2086منذ 6 سنواتWonderful Good work Mr President and Congrats to all Tanzanians 1
@
@songashaban1332منذ 6 سنواتMm na raisi magufuri tumeleta ndege nyingine mtupongeze kwa like nyingiiii 11
@
@sk-wj9orمنذ 6 سنوات salute to you bulldozer. May God give you a long life. I m overseas but I break down with tears. Happy in my heart. Stand tall again proud of our Motherland once again 1
@
@jimmymusti165منذ 6 سنواتMjomba Magu we ni kichwa kingine kwakweli, Mungu akulinde miaka buku ili wananchi na nchi yetu izidi kupiga hatua 10
@
@dani72130منذ 6 سنواتAhsante Rais na hongera sana, mi nilikuwa nahisi aibu kwa nchi kama Tanzania haina ndege, tumpongeze rais kwa juhudi na kuliona hili, si wote watakao muelewa. id="hidden4" class="buttons"> Tanzania yenye Tanzanite lazima iwe na ndege, hizi ni juhudi binafsi wala sio chama. ....وسعت10
@
@chiefmahucha6847منذ 6 سنواتNamsubir Kabwe Zuber Zitto, atuelezee jinsi anavoijua hiyo ndege, na kwamba si ajabu akatwambia kuwa imenunuliwa bei GHALI san na huwenda akadai kuwa taratibu id="hidden5" class="buttons"> za manunuzi hazikufuatwa. Na huwenda akamalizia kuwa ndege hiyo si mpya Bali mkweche. Na mwisho atatoa msimamo wake. Bila kumsahau mwenzie alioko Hospital. Nawasubir kwa hamu sana. ....وسعت12
@
@nsajigwamwakibinga2186منذ 6 سنواتMungu mbariki na umpe maisha marefu kwa kutuinua na kuwa mzalendo wa kweli pamoja sana jembe magu 2
@
@joshuaabel3386منذ 6 سنواتMUNGU IBARIKI TANZANIA BARIKI KIONGOZI WETU MWAMINIFU KWA WANANCHI WAKE RAIS JOHN POMBE MAGUFURI KWA KAZI NZURI ANAZOZIDI KUZILETA KATIKA NCHI YAKE NA id="hidden6" class="buttons"> KUWEZA KUONESHA UZALENDO WA HALI YA JUU KATIKA KUILETEA MAENDELEO NCHI YETU TANZANIA, AMEN ....وسعت14
@
@gloriamichael7935منذ 6 سنواتMh rais Jpm nakuomba sana baba km c ndege mbili tu tuwafikie wale paleee ili tuwapite oooo Jpm may our Lord bring breakthrough upon you and for our country amen 16
@
@aishaaisha4066منذ 6 سنواتMy Good baba ye2 magufur mungu akuongoze 8
@
@mwanajumaomahundumla6504منذ 6 سنواتNajisikia raha mpaka nashindwa kuielezea Asante Mungu kwa kutupa mtu kama Magufuli 12
@
@husseinnkenja8149منذ 6 سنواتHongera mh. Rais hongera Tanzania. Tuendelee kulipa kodi kwa maendeleo ya Tanzania 9
@
@rahmajumanne8438منذ 6 سنواتDaaa amakwer mungu nimkubwa tz nac tunamiriki ndege zetu 12
@
@suleimansalim7845منذ 6 سنواتSafi sana rais wangu dr John pombe magufuli you are the best no one like you mungu akuzidishiye miaka mingi yaku ishi ili uzidi kuwapa raha wa Tanzania 5
@
@shabanjokoro1719منذ 6 سنواتSimbaa raha!!!! Airbus rahaa Mungu ibariki Tanzania 9
@
@fatihiayohana6770منذ 6 سنواتyani hii nnchi mambo haya ilibidi wayafanye akina mkapa la wajanja walikuwa wanakula tuuuu magu ilibidi aje kuipaka rangi tuuu tanzania amepewa mzigo mkubwa sana 16
@
@valentinamussa4212منذ 6 سنواتMajembe kama wewe tunahitaji sana ccm damu damu,hongera mheshimiwa 15
@
@mariacharles7469منذ 6 سنواتwanzania tuunge mkono wazalendo wenzetu siasa tuwaachie wana siasa maana mtu humponda mwanzake kisa hawako chama kimoja na akihamia kwako huyohuyo husimama id="hidden10" class="buttons"> jukwaani na kumsifia mungu atupe macho ya rohoni nakutuongoza mm cku zote wanasiasa nawaona wanafiki. ....وسعت9
@
@annetmsafiri6704منذ 6 سنواتMungu akubariki sana rais wetu kwa matunda haya tunayoyaona mungu akufunike kwa damu ya Yesu kristu 2
@
@eliasraphael6229منذ 6 سنواتHongera sana Rais wangu mungu akulinde 12
@
@fabiankyando1189منذ 6 سنواتAsante sana mh Rais JPM mungu akupe maisha marefu kwani tunaimani Tanzania mpya inakuja 6
@
@shauriernest7934منذ 6 سنواتhata enzi za kudai uhuru wapo waliosema wakoloni ni bora kuliko uhuru wao bado wapo kazi ni moja tu umoja wetu uzalendo knz washindwe walengee mungu akupe maisha marefu mpendwa wetu JPM 2
@
@mohdyussah825منذ 6 سنواتFrom UAE I preciate my president John P Magufuli oyeeee 5
@
@chiefmahucha6847منذ 6 سنواتWote tunaomsubir Zitto na wenzie waje kumwaga pumba togonge LIKE hapa. 11
@
@ernestsinje9532منذ 6 سنواتNASIKIA FURAHA I LOVE TANZANIA The gift of my christimas 3
@
@braysonchalamila1655منذ 6 سنواتUlichelewa wapi kuja kulikomboa taifa hili mh Rais Magufuli? 9
@
@dicksonmugezi7058منذ 6 سنواتMzee wetu wewe unaangalia mbali si utalii tu ila hata watanzania watajivunia vya kwao wewe ni president 12
@
@salmaothman153منذ 6 سنواتAhsante mungu na rais wetu john pombe magufuli 7
@
@faithamour2154منذ 6 سنواتHongera sana rais wetu JPM M,mungu hakupe uongozi miaka 100 safi sana nchi yetu iko juu Tanzania kwa ajili yako rais wetu tunakupenda sanaaaa 1
@
@pasonlucas9481منذ 6 سنواتhongera sana rais wetu Mungu azidi kukutia nguvu nawe uzidi kufanya makubwa zaidi nakupenda sana 2
@
@gloriamichael7935منذ 6 سنواتhata nikipanda ndege za wale natembea kifua mbele c na cc tuna ndege zetu .mambo hayoooooo Tanzania nakupenda sana 15
@
@lubimbijoseph2406منذ 6 سنواتWapinzan ndan ya ccm na nje najua roho zenu zinawaka but ndo ivu Mungu katenda 6
@
@winndelule2302منذ 6 سنواتBaba mim nasemaje cjawah kupiga kura but 2020 kura yang unayo 3
@
@amashakigelulye7632منذ 6 سنواتkwa pamoja tulips Kofi kwa maendeleo ya nchi 5
@
@anuaryally6177منذ 6 سنواتNdege ndio iyoo sasa wale vyama vya mashoga wako wapi 12
@
@celeone2655منذ 6 سنواتApa ndo napoamini kuwa "Action taker is a Game Changer" Ur leader n not A politician.Najua uwez ridhisha wote Well done my dear President JPM 2
@
@badenbensoni7516منذ 6 سنواتTumuongeze muda wa kutuongoza. Maamuzi ni yetu. Anayebisha tupige kura. 27
@
@muddyjuma7285منذ 6 سنواتnashindwa kujizuia Allah akulinde na kila lenye shari 3
@
@xavierycelsus3751منذ 6 سنواتNaskia raha hadi nalia mwenyewe.daaaaa!!. 9
@
@wahidawahida6675منذ 6 سنواتYani ww rais inatakiwa uongozee tanzania miaka yote ya maisha yko ww nibora 9
@
@gloriamichael7935منذ 6 سنواتmnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni hakuna haja ya kufafanua nimeeleweka 27
@
@t.e.l.cchurchkawekamob8103منذ 6 سنواتOngera JPM,Lakini Wapumbavu Na wajiga wata kukashifu. 4
@
@araphabakari3398منذ 6 سنواتAsante Mungu kwa kumuona raisi huyu maana wengi watataka wamuone ,wamsikie,wamjue lakini haitawezekana piga kazi Mr presiiii tuko nyuma yako 1
@
@mwanajumaomahundumla6504منذ 6 سنواتha wale wanaotangazaga Kilimanjaro ya kwao sasa wataisoma kwenye ndege ya Tanzania 18
@
@beatricerobert3167منذ 6 سنواتRais wangu Sina usemi juu yako ila Mungu akubariki you make Tanzania 5
@
@m.mmarckus6298منذ 6 سنواتTanzania mpya.sasa tusubiri kuleeeeeee watatwambiaje kuhusu hii ndege 16
@
@zakariamufuruki1725منذ 6 سنواتBig up JPM (Hatuna shaka na JPM ) Hapa kazii tu!
@
@DrFatmaKhanPanAfrikanمنذ 6 سنواتMagufuli Oyee.. Tunakupenda Sana Mpendwa Rais wetu 2
@
@kallahassan4896منذ 6 سنواتkwahuyu jpm watanzania tumuongezee mda wa miaka mitano iwe kuminatano jamani 3
@elizabethmwandu6937منذ 6 سنواتHongera Mh Rais kwa kazi nzuri unayotufanyia watanzania
@
@sigfridshayo4715منذ 6 سنواتChatting from Japan.Hongera sana Magufuli.Hakika unatupatia tunachopaswa Watanzania.Demokrasia ya ukweli ninayoamini mimi ni Kuwaletea wananchi maendeleo,ila sio inayohubiriwa na Mabeberu na vibaraka wao.Piga kazi baba
@
@shauriernest7934منذ 6 سنواتasante sana mh wetu mpendwa baada ya miaka mingi ya viongozi swenye uzalendo wa kweli kama Nkuruma GHANA ,Lumumba DRC moses mashely musumb iji NELSON MANDELA SA BABA YETU WA TAIFA HILI JK NYERERE sasa ni mh JPM 1
@
@flowinkilangira1545منذ 6 سنواتHuku ndege linatua huku mnyama anapiga MTU piga keleleeeeeee 7
@lulushambazuri4861منذ 6 سنواتMnao dislike ole wenu mkaipande maana kwakutaa hamjambo ila kupanda kimyakimya wa kwanza 2
@
@chusseboywcb2808منذ 6 سنواتOgera selekali ya mangu uko vizuri sanaa nakupenda kula yangu hata usipige kampeni 1
@
@shammoha5297منذ 6 سنواتAir Tanzania oyeeeeee! Magufuli oyeeee! Ccm oyeeeee! Mungu ibariki Tz n watu wake. Ameen yaa Rabbil allamiin
@
@anuaryally6177منذ 6 سنواتRais mchapakazi kwa vitendo akuja kuwavesha kanga na vitenge amekuja kuleta maendeleo ya watanzania 10
@
@husnajohn7466منذ 6 سنواتHata misri waliteseka miaka 40 lakini musa aliwapeleka ka an japo musa hakufanikiwa kuvuka MTO Jordan, jpm ni binadamu sio mkamilifu ila anatimiza ahadi kwa vitendo 3
@
@petermwenda1186منذ 6 سنواتduh ulaya kama choon kama VIP like hapa twende sawa magu baba mungu akulinde heshima kwako
@
@emmanuelaxwesso2529منذ 6 سنواتNampongeza Rais kwa juhudi kubwa aliyoionyesha kuifufua shirika la ndege ila tunaomba wananchi tufahamishwe mapato yanayotokana na ndege hizi zilizonunuliwa 4
@
@MajiTakaMajiمنذ 6 سنواتFedha za uchaguzi wa 2020 wazipangie matumizi mengine tu 2
@
@geraldemmanuel210منذ 6 سنواتKwamtazamo wangu naona 2020 kusiwe nauchaguzi. Mh nilikukubali hata ulivyokuwa bado Waziri .Magufuli Oyeeeeee!!!! 1
@
@musitafaidulusi154منذ 6 سنواتThe best president in Africa if am not mistaken even in the world
@
@elizabethmalingumu5537منذ 6 سنواتKwan zamani magu alikuwa wapi saivi Tz ingekuwa kama ulaya gonga like kama wampenda raisi wetu 1
@
@chrisamrichards6045منذ 6 سنواتdaaaah mr president wewe ni jembee hatari sana daah najua bdo nasubiri maendeleo makubwa Mwanza am waiting for your implementation. 1
@
@flavianamwaunga1310منذ 6 سنواتUmejipanga rais wetu hongera sana mwaka huu wataisoma
@
@shauriernest7934منذ 6 سنواتasante baba mh JPM tunalala tunaamuka salama tunafanyakazi zetu vyema hiyo DMKS ni zana ngani kwetu? tupo kifua mbele 1
@
@georgeburtonburton6740منذ 6 سنواتMungu akupe umri mrefu uendelee kutufanyia mambo mazuri mh.rais magufuli
@
@gggjjahhhh9419منذ 6 سنواتRaisi wetu wapo wanaokusema vibayaaa wanakupondaa ila mimi nakupenda na ntarudi tena Tanzania 2020 kukuchagua tena Inshallah
@
@matondomahona5989منذ 6 سنواتMkuu, ww mpaka kufa kwako, na asiyetaka ahame nchi, maana zpo nyingi tu 2
@
@thomasaloyce6164منذ 6 سنواتNdio taifa ndo linakuwa ila ka no ushamba kupokea ndege kwa ngoma na mapambio na national media broadcast ikiwepo.. geez we need to grow up
@
@amrikadomo8328منذ 6 سنواتhakika watanzania hawaamini mambo ambayo Rais watu ana Fanya hakika mungu aendeleee kumfunulia
@
@s.simponda138منذ 6 سنواتLeo ninafuraha kweli! Simba kashinda ukijumlisha na ndege! Yani mambo ni mwemele! Mwemele! 7
@
@charleschoma9555منذ 6 سنواتRaha Sana usimamizi mzuri siku ya leo magufuri raha Tanzania raha simba Tanzania Raha bao 3-1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Hii Ndio Ndege Mpya Iliyopokelewa Na Rais Magufuli Ya 1 Afrika:
May God give you a long life.
I m overseas but I break down with tears. Happy in my heart. Stand tall again proud of our Motherland once again 1
Mungu ibariki Tanzania 9
I preciate my president John P Magufuli oyeeee 5
hatari sana daah
najua bdo nasubiri maendeleo makubwa Mwanza
am waiting for your implementation. 1