المدة الزمنية 2:58

SHABIKI WA YANGA ALIYEINGIA KUITAZAMA SIMBA AIKOSOA SIJAONA PIRA BIRIANI

بواسطة Millard Ayo
24 193 مشاهدة
0
171
تم نشره في 2021/11/28

Simba SC leo wamepata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katika mchezo wa kuwania kucheza Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, mchezo huo wa mkondo wa kwanza umechezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 27